Translation of "Rabi" into Italian
rabbino, dio, Dio are the top translations of "Rabi" into Italian. Sample translated sentence: Rabi mmoja alitaarifu nini kuhusu matokeo ya Yesu juu ya jamii ya kibinadamu? ↔ Cosa ha detto un rabbino circa l’effetto che ha avuto Gesù sulla razza umana?
Rabi
-
rabbino
nounRabi mmoja alitaarifu nini kuhusu matokeo ya Yesu juu ya jamii ya kibinadamu?
Cosa ha detto un rabbino circa l’effetto che ha avuto Gesù sulla razza umana?
-
Show algorithmically generated translations
Automatic translations of "Rabi" into Italian
-
Glosbe Translate
-
Google Translate
Translations with alternative spelling
rabi
-
dio
noun masculineLikiwa tokeo, wadhifa wa rabi ukaacha kuungwa mkono.
Di conseguenza il peso dei rabbini andò diminuendo.
-
Dio
proper masculineLikiwa tokeo, wadhifa wa rabi ukaacha kuungwa mkono.
Di conseguenza il peso dei rabbini andò diminuendo.
Phrases similar to "Rabi" with translations into Italian
-
Isidor Isaac Rabi
Add example
Add
Translations of "Rabi" into Italian in sentences, translation memory
Talmud inamnukuu rabi mwingine aliyesema kwamba “watu wasio na elimu hawatafufuliwa.”
(The Encyclopedia of Talmudic Sages) Il Talmud menziona un altro rabbi secondo il quale “la gente illetterata non sarà risuscitata”.
Akionyesha kwamba wafuasi wake hawapaswi kujitukuza juu ya waamini wenzao, Yesu alisema: “Nyinyi, msiitwe Rabi, kwa maana mmoja ni mwalimu wenu, lakini nyinyi nyote ni akina ndugu.
Per mostrare che nessuno dei suoi seguaci dovrebbe innalzarsi al di sopra dei compagni di fede, Gesù disse: “Non siate chiamati Rabbi, poiché uno solo è il vostro maestro, mentre voi siete tutti fratelli.
Rabi akawa hasa, kichwa kiagizwa-rasmi cha kutaniko, akitenda akiwa mwalimu na mshauri stadi, mwenye kulipwa mshahara, kwa washiriki wa kikundi chake.
Il rabbino divenne perlopiù il capo di una congregazione, per la quale agiva da insegnante e consulente retribuito, professionista.
Rabi mmoja alitaarifu nini kuhusu matokeo ya Yesu juu ya jamii ya kibinadamu?
Cosa ha detto un rabbino circa l’effetto che ha avuto Gesù sulla razza umana?
7 1, 2 Ilikuwa aina gani ya amri aliyopewa Noa kuhusu damu, na ni maelezo gani ya rabi mmoja yanayohusu hapa?
7 1, 2 Che tipo di comando era quello dato a Noè sul sangue, e quale opportuno commento ha fatto un rabbino?
Katika karne ya 16, rabi fulani aliyeitwa Isaac Luria aliingiza “tikkunim” katika liturjia ya Kikabala.
Nel XVI secolo il rabbino Isaac Luria introdusse i tiqqunim nella liturgia cabalistica.
Makala hiyo yasema hivi inapotaja mfano wa sinagogi lililojengwa miaka 110 iliyopita ambalo limejaribu kupata rabi kwa miaka mitatu bila kufanikiwa: “Tatizo la sinagogi hilo si la kipekee.
Citando l’esempio di una sinagoga che ha 110 anni e che per oltre tre anni ha cercato invano di accaparrarsi un rabbino, l’articolo afferma: “La critica situazione del tempio non è cosa insolita.
Mchambuzi Myahudi anayeitwa Marcus Kalisch (1828-1885) aliandika hivi: “Wazo hilo limekaziwa waziwazi na Ebn Ezra [rabi maarufu Mhispania, 1092-1167]: ‘Tuna jioni mbili; ya kwanza, jua linapotua . . . na ya pili, giza linapoingia; na katikati ya jioni hizo mbili kuna kipindi cha saa moja na dakika ishirini hivi;’ na maelezo hayo ambayo yanaonekana kuwa sahihi zaidi yanapatana pia na maoni ya Wakaraite na Wasamaria, na yamekubaliwa na watu wengi.”
Marcus Kalisch, studioso ebreo (1828-1885), scrisse: “La stessa opinione è stata espressa più chiaramente da Ebn [Ibn] Ezra [noto rabbino spagnolo, 1092-1167]: ‘Abbiamo due sere: la prima quando tramonta il sole [...] e la seconda quando si spegne l’ultimo bagliore di luce riflessa nelle nuvole; e tra le due c’è un intervallo di circa un’ora e venti minuti’. Questa spiegazione, che sembra essere la più logica, è anche quella dei caraiti e dei samaritani, ed è condivisa da molti altri”.
“Kuna kitu sikielewi,” rabi alisema.
“C’è qualcosa che non capisco”, disse il rabbino.
Wakamwambia: “Rabi (neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Mwalimu”), unakaa wapi?”
Loro gli domandarono: “Rabbi (che, tradotto, significa “maestro”), dove abiti?”
Kichapo Midrash Rabbah chataja rabi mmoja ambaye alijificha alipoona wenye ukoma, na rabi mwingine ambaye aliwatupia mawe wenye ukoma ili wasimkaribie.
Il Midrash Rabbah parla di un rabbi che si nascondeva dai lebbrosi e di un altro che lanciava loro sassi per tenerli lontani.
Nikodemo anamwambia: “Rabi, tunajua kwamba wewe ni mwalimu na umetoka kwa Mungu, kwa maana hakuna anayeweza kufanya miujiza kama unayofanya isipokuwa Mungu awe pamoja naye.”
“Rabbi”, esordisce Nicodemo, “sappiamo che sei un maestro venuto da Dio, dato che nessuno può compiere i segni che tu compi a meno che Dio non sia con lui”.
Badala ya hivyo, alipaswa kutafuta rabi astahiliye ambaye angemwamulia.
Doveva trovare un rabbino qualificato che decidesse per lui.
Kwa kweli, neno “rabi” halionekani kamwe katika Maandiko ya Kiebrania.
Anzi, nelle Scritture Ebraiche il termine “Rabbi” non compare affatto.
Hata hivyo, wao wanamkumbusha: “Rabi, juzijuzi tu Wayahudi walikuwa wakitafuta kukupiga kwa mawe, nawe unakwenda huko tena?”
Ma essi gli ricordano: “Rabbi, di recente quelli della Giudea cercavano di lapidarti, e tu vi torni di nuovo?”
8 Lakini ninyi, msiitwe Rabi, kwa maana Mwalimu+ wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.
8 Ma voi non fatevi chiamare ‘rabbi’, perché uno solo è il vostro Maestro,+ e voi siete tutti fratelli.
‘Kufunga humsaidia mtu kuwa na uhusiano pamoja na Mungu.’—RABI MYAHUDI.
‘Il digiuno aiuta a stabilire un vincolo spirituale con Dio’. — UN RABBINO.
Kuchunguza sana kila tendo na neno la rabi hakutawaleta Wayahudi karibu zaidi na Mungu.
Studiare minuziosamente ogni azione e ogni parola dei rabbini non ha avvicinato gli ebrei a Dio.
Walipenda kuitwa “Rabi,” neno lililokuwa limekuwa kichwa cha cheo chenye heshima kinachomaanisha “Mkuu (Mwadhamu) Wangu.”
Amavano essere chiamati “Rabbi”, espressione che era diventata un titolo onorifico nel senso di “Mio Grande (Mio Eccellente)”.
Hata wanafunzi wake walikuwa wakimhimiza: “Rabi, kula.”
Aveva camminato su e giù per le colline della Samaria tutta la mattina, quindi avrà senz’altro avuto fame.